Bismillah
 

WELCOME TO

 
Muhammad

MADRASA AL-HIDAYA

Allah
 

MUSLIM SCHOOL OF RIGHT GUIDANCE

 

Al-Fatiha

Allah

Prophet Muhammad

Qur'an

Hadith

Home

What's New

Total Site Contents

Al-Fatiha

 

HADITHI ZA MTUME MUHAMMAD
(Amani iwe juu yake)

IBADAH

  1. Imepokewa kutoka kwa Bibi Aisha (ر ) kuwa alisema, “Alikuwa Mtume (ص ) zinapoingia siku kumi (za mwisho wa mwezi wa Ramadhani), Mtume (ص ) akikesha usiku kucha, na pia kuwaamsha watu wake wa nyumbani akifanya bidii pamoja na kuzidisha ibada”. (Bukhari na Muslim)
  2.  

  3. Imepokewa kutoka kwa Abu Musa Ash‘ari (ر ) kuwa alisema, Mtume (ص ) amesema, “Mmoja wa waja wa Mungu anapokuwa mgonjwa au anapo safiri huandikiwa kadiri ya yale aliyo kuwa akitenda alipokuwa mzima nyumbani”.(Bukhari)

     

 

 


 

 

 

 


HOME

DOOR 

WINDOWS